Yaliyomo katika taarifa ya habari za ulimwengu kwenye matangazo ya Dw Jioni, ni ziara ya rais wa China Xi Jinping barani Ulaya,na Matumaini ya kufikiwa makubaliano kuhusu vita vya Gaza yafifia nchini Misri.Utasikia pia makala ya maoni mbele ya meza ya duara inayojadili athari za mabadiliko ya tabia nchi Afrika Mashariki.